Rais Magufuli asababisha maandamano Iringa
Wafanyakazi Mkoani Irtinga wamelazimika kufanya maandamano maalum ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli juu ya maamuzi yake uamuzi wake kurudisha matumizi ya kanuni za kikokotoo cha zamani.

