Mkuu wa mkoa ataka wananchi kuacha kuwinda panya Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Mh. Joachim Wangabo Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Mh. Joachim Wangabo amewashauri wananchi wote wanaoharibu misitu kwa kuchoma moto kwaajili ya kuwinda panya waanze kufuga kuku ili kuweza kuokoa mazingira. Read more about Mkuu wa mkoa ataka wananchi kuacha kuwinda panya