Mwakyembe awachunguza wanachama wa Yanga

Waziri Mwakyembe akiwa na baadhi ya wanachama wa Yanga (Wanachama hawa kwenye picha hawahusiani na wanaochunguzwa).

Waziri wa Habari Sanaa Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwanyembe amepeleka majina nane ya wanachama wa klabu ya Yanga kwenye vyombo vya usalama kwaajili ya kuwachunguza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS