Mkuu wa mkoa ataka wananchi kuacha kuwinda panya

Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Mh. Joachim Wangabo

Mkuu wa mkoa wa Rukwa, Mh. Joachim Wangabo amewashauri wananchi wote wanaoharibu misitu kwa kuchoma moto kwaajili ya kuwinda panya waanze kufuga kuku ili kuweza kuokoa mazingira.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS