Wavamia eneo la Makaburi na kufanya makazi Pichani wakazi wa eneo hilo. Wakazi wa mtaa wa Pakacha, Tandale jijini Dar es salaam wamelalamikia eneo la Itongo katika mtaa huo lilitengwa maalum kwa ajili ya maziko ya watu kuvamiwa na watu na kuanza ujenzi wa makazi. Read more about Wavamia eneo la Makaburi na kufanya makazi