"Tahadhari, mwakani mtaniona kila sehemu" - AY

Msanii AY

Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, AY ametoa ahadi kwa mashabiki wake kuwa mwaka 2019 atakuwa msanii wa tofauti  kwa kutoa ngoma mfululizo baada ya kuingia na kutoka kwenye muziki kwa wakati tofauti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS