Monalisa amponza mtoto wa Kajala
Baada ya muigizaji Kajala Masanja kuwa kimya baada ya matokeo ya kidato cha nne, uvumilivu umewashinda mashabiki pamoja na wafuasi wa mitandao ya kijamii wakimtaka muigizaji huyo kuweka wazi matokeo ya mtoto wake Paula aliyemaliza kidato cha nne mwaka 2018.

