'Niliwasihi wasanii wafanye vitu vingine' -Kikwete

Kushoto ni Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kulia ni msanii Mwana FA.

Rais mstaafu wa awamu ya 4 Jakaya Mrisho Kikwete, amesema amefurahishwa na kitendo cha msanii wa Hip Hop Mwana FA, kutambulisha bidhaa ya marashi 'Body Spray' kwa kuwa ni jambo ambalo alimshauri muda.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS