Mnyika amuomba Magufuli kufanya ubinadamu

Kushoto ni Mbunge wa Kibamba, John Mnyika na kulia ni Rais wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli.

Mbunge wa jimbo la Kibamba, John Mnyika amemuomba Rais Magufuli kutumia ubinadamu katika suala la bomoa bomoa lililofanyika Kimara huku akiiomba  serikali iangalie namna ya kuwalipa fidia waliokuwa wakiishi kando ya barabara hiyo ambao nyumba na maeno yao ya biashara yaliyobomolewa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS