Tatizo Sugu la Simba na Yanga linaitafuna Afrika

Kikosi cha Yanga juu na Simba chini

Klabu ya soka ya Simba inawakilisha nchi kwenye michuano ya kimataifa na tayari ipo katika hatua ya makundi ya ligi ya mabingwa Afrika ikiwa inaongoza kundi D, baada ya kushinda 3-0 dhidi ya JS Saoura.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS