Msanii Afrika Kusini atoa siri ya kuimba Kiswahili
Mwanamuziki, Sho Madjozi
Msanii wa kike wa muziki nchini Afrika Kusini, Sho Madjozi ambaye anatamba na wimbo wa Kiswahili unaojulikana kwa jina la 'Huku', ameitaja siri iliyomfanya hadi kuimba wimbo huo.