Dkt. Mengi awapongeza Serengeti Boys

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi akipokea kombe la COSAFA kutoka kwa nahodha wa Serengeti Boys Michael Morris.

Mlezi wa timu ya taifa ya soka ya vijana chini ya miaka 17, Serengeti Boys, Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi,  amewapongeza wachezaji hao kwa ubingwa wa COSAFA walioutwaa nchini Botswana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS