Kesi inayomkabili Zitto yaanza kuchangamka

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe (mwenye nguo nyeusi) akiwa na viongozi wengine kutoka vyama vya upinzani leo katika Mahakama ya Kisutu

Kesi ya 'uchochezi' inayomkabiili Mbunge wa Kigoma Mjini, Zito Zuberi Kabwe imeahirishwa mpaka Januari 29, itakapoitwa kwa ajili ya kwenda kusikilizwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS