Jamaica yatwaa taji la mrembo wa Dunia

Mrembo wa Dunia 2019/2020 kutoka nchini Jamaica, Toni-Ann Singh.

Toni-Ann Singh ni mrembo kutoka nchi ya Jamaica ambaye usiku wa kuamkia leo Disemba 15, 2019, ameitoa kimasomaso nchi yake mara baada ya kutwaa taji la Urembo wa Dunia katika mashindano ya kumsaka mlimbwende wa Dunia (Miss World), yaliyofanyika Jijini London, nchini Uingereza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS