"Alikiba ni kama Jini" - K2ga

Kushoto kwenye picha ni K2ga, kulia ni Alikiba

Msanii wa kundi la "Kings Music" K2ga amesema alikuwa anatamani kujirekebisha asiimbe kama Alikiba lakini imeshindikana, pia anaona fahari kuambiwa anaimba kama Alikiba kwa sababu msanii huyo ni kama jini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS