Shilole amtaka Nay wa Mitego kuacha tabia hii
Msanii na mfanyabiashara Shilole, amefunguka na kusema Nay wa Mitego ana utamaduni wa kuwachana watu kwenye nyimbo zake, ila anatakiwa abadilishe aina ya muziki, aache kuchamba watu azungumzie nyimbo zinazohusu jamii.