Bashiru ataja jambo moja kubwa alilofanya Magufuli

Rais Magufui na Katib u Mkuu wa CCM Bashiru Ally

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Bashiru Ally, amesema moja ya mambo makubwa aliyoyafanya Rais Magufuli, ni kurejesha matumaini mapya kwa wanyonge ndani ya Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS