Maagizo ya Waziri kwa wenye viwanda vya Sukari

Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa

Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Bashungwa amewataka wenye viwanda vya sukari kurejea mikataba ya uzalishaji walioafikiana na Serikali kujiridhisha iwapo inaenda sambamba na masharti waliokubaliana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS