Kauli ya Msigwa juu ya hatma ya jimbo lake

Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa.

Mbunge wa Iringa Mjini kupitia CHADEMA, Mchungaji Peter Msigwa, baada ya kueleza kuwa anayo nia ya kugombea nafasi ya Urais ndani ya chama chake, amepata kigugumizi kulijibu swali la kwamba hivyo ndivyo ataachana na wananchi wake endapo ataingia kwenye nafasi kubwa ya Urais.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS