Kocha Prisons asema uchawi upo katika soka

Kikosi cha Tanzania Prisons katika picha ya pamoja kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu kandanda Tanzania bara.

Kocha msaidizi wa klabu ya Tanzania Shaaban Kazumba amesema kitendo cha wao kufungwa na Coastal Union ya Tanga kwa bao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara,sasa anaanza kuamini kwamba masuala ya kishirikina yanaweza husika katika mpira wa miguu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS