Kikosi cha Atalanta (Pichani) katika shamra shamra za bao walilofunga katika moja ya mechi ya Serie A.
Matumaini ya klabu ya Atalanta ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya Italia yamefifia baada ya jana kutoka sare ya bao 1-1 dhidi ya AC Milan waliokua wenyeji wao katika uwanja wa Sanciro.