Kocha Prisons asema uchawi upo katika soka
Kocha msaidizi wa klabu ya Tanzania Shaaban Kazumba amesema kitendo cha wao kufungwa na Coastal Union ya Tanga kwa bao 2-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania bara,sasa anaanza kuamini kwamba masuala ya kishirikina yanaweza husika katika mpira wa miguu.

