Shule nyingine yaungua Kinondoni Dar
Kamanda wa Kanda maalumu ya Dar es salaam SACP Lazaro Mambosasa amewatoa hofu wamiliki wa shule jijini humo na kuwa wameunda timu inayofanya uchunguzi kuhusu matukio ya moto ambayo yametokea katika shule tatu katika eneo la Kinondoni.

