Shule nyingine yaungua Kinondoni Dar

Mabaki ya vitu vilivyoungua katika moto uliotokea katika shule ya Sekondari ya Mivumoni Kinondoni Dar es Salaam

Kamanda wa Kanda maalumu ya Dar es salaam SACP Lazaro Mambosasa amewatoa hofu wamiliki wa shule jijini humo na kuwa wameunda timu inayofanya uchunguzi kuhusu matukio ya moto ambayo yametokea katika shule tatu katika eneo la Kinondoni.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS