Rodger Federer hana mpango wa kustaafu Kocha Severin Luthi (kushoto) akiwa na Rodger Federer Mcheza Tenesi namba nne Duniani na bingwa mara 20 wa Grand Slam Rodger Federer hana mpango wa kustaafu hivi karibiuni kwa mujibu wa kocha wake Severin Luthi. Read more about Rodger Federer hana mpango wa kustaafu