Maajabu ya 20 kwa Lady Jay Dee

Msanii wa BongoFleva Lady Jay Dee

Msanii wa muda mrefu kwenye kiwanda cha BongoFleva Lady Jay Dee, ameitaja namba 20 kama ndiyo namba yake ya bahati, kwani anatarajia kuachia Album yake ya nane na jina la Album hiyo itaitwa 20.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS