Aliyewahi kuwa mlinzi wa Mbowe atangaza nia CCM

Aliyewahi kuwa mlinzi wa Freeman Mbowe, Erick Mandia akirejesha fomu.

Zoezi la Urejeshaji fomu kwa watia nia wa kugombea nafasi za Ubunge na Udiwani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), limekamilika leo ambapo takwimu zinaonesha vijana wengi wamejitokeza zaidi kuliko miaka iliyopita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS