Magari 25 yakamatwa kwa kukiuka amri ya IGP

Kamanda Polisi mkoani Dodoma, Giles Muroto

Jeshi la Polisi mkoani Dodoma limefanikiwa kuyakamata magari 25 kwa kukiuka amri ya IGP kwa kuyafunga magari yao ving’ora na taa kali pamoja na gari jingine jipya aina ya Probox kukutwa likitumia namba ambazo zipo kwenye  gari lingine.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS