Sababu za viongozi Arusha kung'olewa zatajwa

Kushoto ni Rais John Pombe Magufuli, katikati ni aliyewahi kuwa DC Arusha Gabriel Daqarro, na kulia ni aliyewahi kuwa RC Arusha Mrisho Gambo.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amezitaja sababu zilizopelekea kuwang'oa wote kwa pamoja viongozi wa Jiji la Arusha akiwemo RC, DC na DED ni kwa sababu wao walishindwa kufanya kazi kwa ushirikiano na upendo, badala yake walikuwa na malumbano yasiyo na tija.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS