Kocha wa Mbao Fc ya Mwanza, Fredy Felix Minziro (pichani) katika moja ya mahojiano na EATV.
Klabu ya soka ya Mbao imeandikisha rekodi mpya katika ligi kuu ya kuwa timu ya kwanza msimu huu kushinda mechi tano mfululizo na kuendelea kusalia katika nafasi ileile waliyokuwepo awali.