Kauli ya BASATA baada ya Vanessa kuacha muziki

Msanii Vanessa Mdee upande wa kulia, Katibu Mtendaji Basata Godfrey Mngereza

Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza, amesema uamuzi wa msanii Vanessa Mdee kuacha muziki ni mzuri kwake kwa sababu alikuwa hapati sapoti kwa mzazi wake, lakini kwa upande mwingine kukata tamaa ni mwiko au dhambi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS