Kauli ya BASATA baada ya Vanessa kuacha muziki
Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Mngereza, amesema uamuzi wa msanii Vanessa Mdee kuacha muziki ni mzuri kwake kwa sababu alikuwa hapati sapoti kwa mzazi wake, lakini kwa upande mwingine kukata tamaa ni mwiko au dhambi.