Wabunge wawili wa CCM mikononi mwa TAKUKURU

Kushoto ni Mbunge Mstaafu wa Mtera Livingstone Lusinde na kulia ni Mbunge Mstaafu wa Kigoma Kaskazini Peter Serukamba.

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa Dodoma imekiri kuwaita na kuwahoji Wabunge wawili wastaafu wa Chama cha Mapinduzi, akiwemo Livingstone Lusinde 'Kibajaji' ambaye ilimhoji jana na Peter Serukamba ambaye bado inamshikiliwa kwa tuhuma za rushwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS