Ukweli toka kwa Wakili, Uchebe Jela miaka mitano
Gumzo za taarifa za kupigwa kwa Shilole kutoka kwa mume wake Uchebe zimekuwa nyingi kuanzia kwenye vyombo vya habari, haki za binadamu "HRC", mitandaoni, mastaa, wafanyabiashara na baadhi ya viongozi wa kisiasa.
