Alichokisema Manara juu ya kauli za kibaguzi

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara katika moja ya mchezo wa VPL uliopigwa jijini Dar es salaam katika dimba la Mkapa.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba, Haji Manara amecharuka na kusema kuwa licha ya utani alionao dhidi ya Yanga, lakini kamwe hatokubali kuwaita majina yanayoashiria ubagizo wa rangi kama ambavyo baadhi ambao wameanza kufanya hivyo .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS