''Njooni kwa wingi uwanja wa Uhuru'' - RC Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge

Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge amewaomba wakazi wa mkoa wa Dar es salaam kujitokeza kwa wingi uwanja wa Uhuru kuanzia kesho Julai 26, 2020 katika kuaga mwili wa aliyekuwa Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS