"Niliogopa kumuuliza Mwinyi eneo la kumzikia" -JPM

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, akiwa na Rais Mstaafu Ali Hassan Mwinyi.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli, amesema kuwa Serikali ilikwishatenga eneo maalum la maziko kwa viongozi wakuu wa Kiserikali watakaofariki, ambapo watazikwa Dodoma, kwa kuwa ndiko yaliko Makao Makuu ya Nchi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS