Mshambuliaji wa klabu ya Mtibwa Sugar, Jaffari Kibaya (Kati kati Pichani), akiwaongoza wenzake kushangilia bao alilofunga kwenye moja ya mchezo wa ligi kuu Tanzania bara
Uongozi wa timu ya soka ya Mtibwa Sugar umesema kubadilisha kwa matumizi ya uwanja ni moja ya sababu zilizowafanya kushindwa kuonyesha makali yao katika ligi kuu Tanzania Bara msimu huu.