"Mkapa alikuwa Jasiri naheshimu hilo"- Maalim Seif
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Maalim Seif Hamad
Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo Maalim Seif Hamad amesema kuwa marehemu Benjamin William Mkapa alikuwa kiongozi jasiri na hakujali maamuzi yake kama wengine hawatoyafurahia.