"Nimeitwa Tasa, Mgumba lakini nimezaa" - Wanjara
Miss Mara, Mwanamitindo na aliyewahi kuwa mpenzi wa zamani wa Prof Jay, Rashida Wanjara amesema anajisikia furaha kuwa mzazi kama wazazi wengine baada ya watu kumsema sana kwamba yeye ni tasa na mgumba kwamba hataweza kupata watoto.

