
Naibu Katibu Mkuu (Afya) Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dk.Grace Magembe

Picha ya Teni Entertainer na Jay Willz

Picha ya Lady Jaydee na Professor Jay

Picha ya msanii Professor Jay

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Botswana, Mhe. Dkt. Mokgweetsi Masisi wakati alipofika ofisini kwake kwa ajili ya kuwasilisha salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan alipomwakilisha kwenye Mkutano wa Ajenda 2063 uliohusisha Wakuu wa Nchi za Afrika

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama akipokea mfano wa hundi ya Sh.milioni 100 kutoka Camel Cement na vitu vingine kutoka Camel Oil.

Wachezaji wa Girona wakishangilia baada ya kufunga bao kwenye ushindi wa mabao 4-2 walioupata jana usiku dhidi ya FC Barcelona.