
Kushoto ni Meneja wa bidhaa za internet wa Tigo, Mkumbo Myonga, na kulia ni Afisa Habari wa Kampuni ya simu ya Itel Fernando Wolle wakionyesha simu mpya waliyoizindua leo Itel T20

Bidhaa za vyakula zikiwa sokoni.

Meneja wa bidhaa Pamela Kikuki, akionesha muonekano wa Konyagi mpya

Kushoto ni Meneja wa Bidhaa za Tigo Mkumbo Myonga, Kulia ni Meneja mawasiliano Tigo Woinde Shisaeli

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa akimkabidhi zawadi kutoka Royal Oven Bakery, Dkt. Ahmed Mussa Kashagama (Kash) Daktari bingwa wa Wanawake kutoka hospitali ya Rabinsia (kulia), pamoja na Mwl. Vicent Mganga kutoka shule ya msingi na awali ya Divine iliyopo Salasala jijini Dar es Salaam, kwa niaba East Africa TV na East Africa Radio katika kilele cha maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja.

Gloria Njiu Mkuu wa kitengo cha huduma cha kidigitali, NCBA.

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa akimkabidhi zawadi kutoka Royal Oven Bakery Silver Lonarick kutoka Silver ze smart dread’z.

Kaimu Mkurungezi wa Sensa ya Watu na Takwimu za Jamii, Ruth Minja.

Wafanyakazi wa Tigo wakiwa maeneo ya Kawe

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa akimkabidhi zawadi kutoka Royal Oven Bakery mfanyakazi wa S. H. AMON Faraja Ezekiel.

Muandaaji wa kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio, Mackriner Siyovelwa (wa kwanza kushoto), akikabidhi zawadi kwa wafanyakazi wa ARiS Insurance.