Golikipa wa Singida FG amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kuwafanyia vurugu Coastal Union
Kiungo wa Yanga SC Khalid Aucho amefungiwa michezo 3 na faini ya shilingi milioni 1 kwa kosa la kumpiga kiwiko mchezaji wa Coastal Union Ibrahim Ajibu.
Wachezaji wa Girona wakishangilia baada ya kufunga bao kwenye ushindi wa mabao 4-2 walioupata jana usiku dhidi ya FC Barcelona.
Kiungo Casemiro kushoto na Rafael Varane kulia huwenda wakauzwa kwenye dirisha dogo la usajili la mwezi Januari 2024.