Sport

Kocha mpya wa Chelsea, mjerumani Thomas Tuchel

Kikosi cha timu ya Taifa “Taifa Stars” wakiwa kwenye mazoezi Uwanja wa Bonamoussadi,Douala kuelekea mchezo wa mwisho Kundi D mashindano ya CHAN vs Guinea leo.

Mchezo wa Tottenham dhidi ya Liverpool kwenye Meridianbet

Mlinzi mpya wa Simba, Peter Muduhwa

Wenyeji Cameroon wataminyana na timu ya taifa ya DR Congo kwenye mchezo wa robo fainali ya michuano ya CHAN

Wachezahi wa klabu ya Manchester City wakishangilia baada ya kupata bao.

Mlinzi nyota wa LA Clippers, Kawhi Leonards.

Junior Lokosa anajiunga na Simba akiwa mchezaji huru baada ya kuvunja mkataba na klabu ya Esperance ya Tunisia mwezi Julai mwaka 2020

Aliyekuwa kocha wa Chelsea, Frank Lampard.

Mlinzi wa kulia wa Spurs, Sergie Aurier (kushoto) akishangilia bao na Delle Ali (kushoto).

hili ndilo kombe la CHAN linalowaniwa na timu 16 katika mashindano ya mwaka huu

Mtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez akimkabadhi jezi ya mabingwa wa nchi Kocha Mkuu mpya Didier Gomes Da Rosa.

Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akiwajibika katika moja ya mchezo wa VPL msimu huu.

Mshambuliaji wa Arsenal, Piere Emerick Aubameyang akijaribu kufunga bao bila ya mafanikio.