Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali PIC, Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aesh Hilary (katikati).

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT Bw. Beno Ndulu

Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi katika kambi ya upinzani bungeni Mh. James Mbatia.

Kamanda wa jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas

Mkurugenzi wa Huduma za Kibenki wa BoT Bw. Emmanuel Boaz (kulia) akionyesha sarafu mpya ya shilingi mia tano ambayo itaanza kutumika Oktoba Mosi mwaka huu.

Makamu wa rais nchini Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal.