
Mkurugenzi wa WILDAF, Dkt. Judith Odunga.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda.
Moja ya ghala lilisheheni sukari za wazalishaji wa Sukari wa Kilombero Mkoani Morogoro nchini Tanzania.

Wananchi wakishuudia ajali ya Lori la mafuta Mbagala Jijini Dar es Salaam.

Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Baba wa Taifa la Tanzania

Muogeleaji Magdalena Mushi kushoto akiwa na mwogeleaji mwenzake wa Tanzania Ammaar Ghadiyali na kocha wao Sheha Mohammed.

Bendera ya Tanzania ikipepea uwanjani wakati wa ufunguzi wa michuano ya madola.

Wachezaji wa mchezo wa Rollball wakichuana katika moja ya mashindano ya mchezo huo.

Waziri wa Fedha na Uchumi wa Tanzania saada Mkuya

Baadhi ya wachezaji na viomgozi wa michezo wanaokwenda kushiriki michuano ya madola, wakikabidhiwa bendera