Maajabu: Ramli nayo yapigiwa kampeni
Katika hali isiyo ya kawaida, kumeibuka kundi la watu wanaopigia debe ramli pamoja na ramli chonganishi, kinyume na tangazo na agizo la serikali kutokana na matendo hayo kuwa kinyume cha sheria na kuchangia mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi.