JK aanza ziara ya kiserikali nchini India Rais Jakaya Kikwete leo ameelekea nchini India ambako atafanya ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Jamhuri ya India kwa mwaliko wa Rais wa India, Mheshimiwa Pranab Mukherjee. Read more about JK aanza ziara ya kiserikali nchini India