Burudani zapamba maadhimisho Mei Mosi

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani mkoani Mwanza

Sherehe za maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, Mei Mosi kwa mwaka huu ambayo imefanyika kitaifa mkoani Mwanza katika uwanja wa CCM Kirumba na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwepo mgeni rasmi Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS