Wakulima wafaidika na mradi wa kutafutiwa Masoko

Mmoja wa Viongozi wa MVIWATA Akizungumza katika moja ya Makongamo ya Wanachama wa vikundi vya Wakulima wadogowadogo.

Mradi wa kuvijengea uwezo vikundi vya wakulima ili viweze kuongeza uzalishaji na kufikia masoko vilivyo chini ya mtandao wa wakulima wadogo Tanzania,MVIWATA umemaliza kero ya wakulima wa Kiteto, Mkoani Manyara waliokuwa wakinyonywa na wafanyabiashara

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS