Serikali kuondoa mpango wa Maabara za Kuhamishika
Serikali ya Tanzania imesema kuwa ipo katika mpango wa kukamilisha maabara katika shule za sekondari nchini na kuondokana na mtindo wa maabara za kuhamishika ili kutoa mafunzo ya halisi ya sayansi kwa shule zote za kata na za serikali.

.jpg?itok=EsTUXKVL)