Mei Mosi: wasanii wasema na wafanyakazi

msanii wa bongofleva Ben Pol

Leo hii ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani, maarufu kama Mei Mosi wasanii wa muziki wametumia nafasi hii pia kupitia mahojiano yao na eNewz kuzungumza na wafanyakazi ili kuinua uchumi binafsi na uchumi wa taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS