Serikali kuondoa mpango wa Maabara za Kuhamishika

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa.

Serikali ya Tanzania imesema kuwa ipo katika mpango wa kukamilisha maabara katika shule za sekondari nchini na kuondokana na mtindo wa maabara za kuhamishika ili kutoa mafunzo ya halisi ya sayansi kwa shule zote za kata na za serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS