Mmoja ya Wananchi wa Iringa akijiandikisha katika hatu za mwisho za zoezi hilo lililokamilika jana
Mawakala wa zoezi la uandikishaji wa daftari la kudumu la wapiga kura wametakiwa kuzingatia taratibu na sheria zilizowekwa na tume ya uchaguzi juu ya kujari muda wa kujiandikisha.