Serikali kuwanyang'anya wasioviendeleza viwanja

Mheshimiwa Angelina Mabula Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Serikali imesema itawanyang'anya viwanja wamiliki wote wa viwanja waliopewa kwa ajili ya kuviendeleza na kuwekeza kwa shughuli za kimaendeleo ambapo ndani ya miaka mitatu wakiwa hawajafanya chochote katika maeneo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS