Waliotoa hati za kujenga mabondeni kukiona Serikali imesema itachukua hatua za kinidhamu na za kisheria kwa watendaji wa serikali waliotoa hati za makazi ya kudumu kwa wananchi wanaoishi mabondeni wakati wakijua maeneo hayo sio rasmi kwa makazi. Read more about Waliotoa hati za kujenga mabondeni kukiona