AZAKI zatoa tamko huku hali ya kisiasa Zanzibar

Katibu Mkuu wa Baraza la Taifa la Asasi za Kiraia(NACONGO)Bw. Onesmo Ole Ngurumwa

Asasi za kiraia nchini (AZAKI), wametoa tamko kuwataka wanasiasa Visiwani Zanzibar kuwa na utaratibu kutolewa taarifa ya maendeleo ya majadiliano yanayofanywa na viongozi wanaokutana kuhusu suala la muafaka wa kisiasa Visiwani humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS