Mastaa wamkaribisha Samatta alfajiri leo na ujumbe
Umati wa watanzania wakiwepo wasanii maarufu wa maigizo na muziki wamejitokeza usiku wa kuamkia leo kwenye uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere jijini Dar kumpokea kwa shangwe mwanasoka Mbwana Samatta baada ya kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa Afrika.