TFDA yaja na mfumo maalum wa kutathmini magonjwa Afisa uhusiano wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Gaudensia Simwanza Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imeamua kuanzisha mfumo maalum wa kutathmini magonjwa yanayotokana na ulaji wa vyakula visivyo salama na njia za kukabiliana na magonjwa hayo . Read more about TFDA yaja na mfumo maalum wa kutathmini magonjwa