TFDA yaja na mfumo maalum wa kutathmini magonjwa

Afisa uhusiano wa Mamlaka ya Chakula na Dawa Gaudensia Simwanza

Mamlaka ya chakula na dawa nchini TFDA imeamua kuanzisha mfumo maalum wa kutathmini magonjwa yanayotokana na ulaji wa vyakula visivyo salama na njia za kukabiliana na magonjwa hayo .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS