Black Rhyno kuzimeki dooh
Staa wa muziki Black Rhyno, baada ya kufanya poa ndani na nje ya mipaka ya nchi na kolabo yake ya kimataifa 'We Get It On' na wasanii wa Kusini mwa Afrika, amesema kuwa ameamua kurejea katika soko la nyumbani kwa kufungia mwaka na kazi yake mpya.