Nane wafariki kwenye ajali ya gari Tabora Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suleiman Issa Watu nane wamefariki dunia na wengine 28 kujeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Allys walilokuwa wakisafiria kupinduka katika kijiji cha vumilia Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora. Read more about Nane wafariki kwenye ajali ya gari Tabora