Ukosefu wa maadili chanzo cha migogoro- Mabula
Naibu waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya makazi Mh. Angelina Mabula amesema kuwa tatizo la watumishi wa serikali kutofuata matumizi bora ya ardhi pamoja na mipaka yao ya kazi ni moja kati ya mambo makubwa yanayosababisha migogoro mingi ya ardhi.