Azam FC yawasili, kukutana na Mwadui FC Jumapili
Timu ya Azam FC imesema itatumia uzoefu walionao pamoja na umakini walioweza kuujenga ugenini kuweza kupambana na kuweza kupata pointi tatu ili kuweza kukaa sawa katika msimamo wa ligi kuu ya soka Tanznaia Bara.

