VITA YA LIGI DARAJA LA KWANZA KURINDIMA KESHO

Mtendaji mkuu wa bodi ya ligi nchini Boniface Wambura akizungumza na waandishi wa habari

Ligi Daraja la Daraja la Kwanza ambayo washindi wake wa kwanza kutoka kila kundi watakwea kucheza ligi kuu ya soka Tanzania bara msimu ujao inatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo kumi na mbili kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS