Neville aivusha Valencia Cope de Rey.

Kocha wa klabu ya Valencia Garry Neville (pichani)ameiongoza Valencia kwenye mechi ya ushindi dhidi ya Las Palmas jana.

Klabu ya soka ya Valencia imetinga nusu fainali ya kombe la mfalme nchini Hispania kufuatia ushindi wa bao 1-0 wakiwa ugenini kupepetana na Las Palmas.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS